Deni Limelipwa Track 2: Frida Rottson - Ninakupenda (Official Music Video)
Frida Rottson presents her brand new EP titled “Deni Limelipwa”.
This a wonderful song to play with your friends this Valentine's and Kwaresma season. Enjoy sweet wedding vibes on your way to church with your happy and healthy family,.... in preparation for your prayers and in your everyday life.
God bless you
Listen to Deni Limepwa EP here: https://www.youtube.com/watch?v=lOP1oyeebtk&list=PLHe0WJflzncqM4te8xaZuz-rQ5SftPyy3
Frida Rottson - Deni Limelipwa (Tracklist)
1. Frida Rottson - Napendwa
2. Frida Rottson - Ninakupenda
3. Frida Rottson - Deni Limelipwa
4. Frida Rottson - Brand New
Follow Frida Rottson
Instagram: https://www.instagram.com/frida_rottson/
YouTube: https://www.youtube.com/channel/UCL2GHWDXkHmmgujn7C-GD2Q
Branding and Marketing Services by:
Mavin Murithi: https://www.instagram.com/thisismavin/
Frida Rottson - Ninakupenda Lyrics
Kaona sio vyema niwe peke yangu
Akakuumba wewe
Ubavu wangu ili tufanane
Hii safari aliona ni ndefu
Amekuleta wewe eh
Maishani mwangu tusaidane
Kweli Mungu hakupi unachoomba
Anakupa unachostahili
Amenipa wewe mwandani wangu
Yani siamini naona kama naota
Imetimia siku yetu ya harusi
Moyo umejawa furaha natokwa na machozi
Karibu kwenye familia yetu
Huyu ni baba yangu
Huyu ni mama yangu
Wasalimu kidogo
Nina makaka na dada
Nina wajomba ,shangazi
Karibu pia na wewe tuongeze familia
Wacha nikung’ate kasikio kidogo
Wanasema unatabia nzuri my baby
Acha na yote hayo wewe hauna baya
Chorus
Nafungua moyo wangu ninakupa wewe
Kipenzi changu
Ninakupendaaa
Na leo mbele ya mashahidi nahaidi kwamba
Nitakupendaa
Mimi na familia kwa furaha tunakukaribisha
Tunakupenda
I love you
I love you
I love you
I love you
I love you
We love you
Ninakupenda
I love you
I love you
I love you
I love you
I love you
We love you
Ninakukupenda
Verse 2
Tuwe wepesi wa msamaha
Tunapokoseana
Hakuna mwanadamu mkamilifu kwenye hii dunia
Vya kwetu tuvipandishe thamani
Tusivitamani kwa wengine
Kidogo kikubwa chetu
Tumshukuru mungu
Tukate keki watu waone
Kuwa ishara ya upendo
Dj ongeza mziki kidogo
Watu wa sherekee
Namuona bibi
Namuona babu
Nawaona na wanafiki
Naiona kamati fungua shampeni
Tufurahi na marafiki
Yani siamini naona kama naota
Imetimia siku yetu ya harusi
Moyo umejawa furaha natokwa na machozi
Karibu kwenye familia yetu
Huyu ni baba yangu
Huyu ni mama yangu
Wasalimu kidogo
Nina makaka na dada
Nina wajomba ,shangazi
Karibu pia na wewe tuongeze familia
Wacha nikung’ate kasikio kidogo
Wanasema unatabia nzuri my baby
Acha na yote hayo wewe hauna baya
Chorus
Nafungua moyo wangu ninakupa wewe
Kipenzi changu
Ninakupendaaa
Na leo mbele ya mashahidi nahaidi kwamba
Nitakupendaa
Mimi na familia kwa furaha tunakukaribisha
Tunakupenda
I love you
I love you
I love you
I love you
I love you
We love you
Ninakupenda
I love you
I love you
I love you
I love you
I love you
We love you
Ninakukupenda
#FridaRottson #Ninakupenda #DeniLimelipwaEP
Frida Rottson presents her brand new EP titled “Deni Limelipwa”.
This a wonderful song to play with your friends this Valentine's and Kwaresma season. Enjoy sweet wedding vibes on your way to church with your happy and healthy family,.... in preparation for your prayers and in your everyday life.
God bless you
Listen to Deni Limepwa EP here: https://www.youtube.com/watch?v=lOP1oyeebtk&list=PLHe0WJflzncqM4te8xaZuz-rQ5SftPyy3
Frida Rottson - Deni Limelipwa (Tracklist)
1. Frida Rottson - Napendwa
2. Frida Rottson - Ninakupenda
3. Frida Rottson - Deni Limelipwa
4. Frida Rottson - Brand New
Follow Frida Rottson
Instagram: https://www.instagram.com/frida_rottson/
YouTube: https://www.youtube.com/channel/UCL2GHWDXkHmmgujn7C-GD2Q
Branding and Marketing Services by:
Mavin Murithi: https://www.instagram.com/thisismavin/
Frida Rottson - Ninakupenda Lyrics
Kaona sio vyema niwe peke yangu
Akakuumba wewe
Ubavu wangu ili tufanane
Hii safari aliona ni ndefu
Amekuleta wewe eh
Maishani mwangu tusaidane
Kweli Mungu hakupi unachoomba
Anakupa unachostahili
Amenipa wewe mwandani wangu
Yani siamini naona kama naota
Imetimia siku yetu ya harusi
Moyo umejawa furaha natokwa na machozi
Karibu kwenye familia yetu
Huyu ni baba yangu
Huyu ni mama yangu
Wasalimu kidogo
Nina makaka na dada
Nina wajomba ,shangazi
Karibu pia na wewe tuongeze familia
Wacha nikung’ate kasikio kidogo
Wanasema unatabia nzuri my baby
Acha na yote hayo wewe hauna baya
Chorus
Nafungua moyo wangu ninakupa wewe
Kipenzi changu
Ninakupendaaa
Na leo mbele ya mashahidi nahaidi kwamba
Nitakupendaa
Mimi na familia kwa furaha tunakukaribisha
Tunakupenda
I love you
I love you
I love you
I love you
I love you
We love you
Ninakupenda
I love you
I love you
I love you
I love you
I love you
We love you
Ninakukupenda
Verse 2
Tuwe wepesi wa msamaha
Tunapokoseana
Hakuna mwanadamu mkamilifu kwenye hii dunia
Vya kwetu tuvipandishe thamani
Tusivitamani kwa wengine
Kidogo kikubwa chetu
Tumshukuru mungu
Tukate keki watu waone
Kuwa ishara ya upendo
Dj ongeza mziki kidogo
Watu wa sherekee
Namuona bibi
Namuona babu
Nawaona na wanafiki
Naiona kamati fungua shampeni
Tufurahi na marafiki
Yani siamini naona kama naota
Imetimia siku yetu ya harusi
Moyo umejawa furaha natokwa na machozi
Karibu kwenye familia yetu
Huyu ni baba yangu
Huyu ni mama yangu
Wasalimu kidogo
Nina makaka na dada
Nina wajomba ,shangazi
Karibu pia na wewe tuongeze familia
Wacha nikung’ate kasikio kidogo
Wanasema unatabia nzuri my baby
Acha na yote hayo wewe hauna baya
Chorus
Nafungua moyo wangu ninakupa wewe
Kipenzi changu
Ninakupendaaa
Na leo mbele ya mashahidi nahaidi kwamba
Nitakupendaa
Mimi na familia kwa furaha tunakukaribisha
Tunakupenda
I love you
I love you
I love you
I love you
I love you
We love you
Ninakupenda
I love you
I love you
I love you
I love you
I love you
We love you
Ninakukupenda
#FridaRottson #Ninakupenda #DeniLimelipwaEP
- Category
- Jazz

Be the first to comment